a
Yer 31:15
;
Mt 2:17
,
23
;
1:2
b
Mwa 35:19
Matthew 2:17-18
17
a
Ndipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia.
18
b
“Sauti ilisikika huko Rama,
maombolezo na kilio kikubwa,
Raheli akilia kwa ajili ya wanawe,
akikataa kufarijiwa,
kwa sababu hawako tena.”
Copyright information for
SwhNEN